Vijana kesho yetu ni bora kuliko leo – Balozi wa vijana EAC
Balozi wa vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC, Jessica Mshama ambaye hivi karibuni alishiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu marekebisho ya elimu kwenye Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, amesema ujumbe wake kwa vijana ni kwamba “kesho yetu ni bora kuliko jana.”