Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Vijana nchini Cameroon ni kiungo muhimu katika kuchagiza amani Afrika Mgharibi
© UNICEF/Salomon Marie Joseph Beguel

Simulizi: Kutoka maisha ya ghasia hadi utamaduni wa amani 

Nchini Cameroon, kijana mwanaharakati ambaye amegeuza maisha yake kutoka yale ya vurugu na ghasia hadi kuwe kijana mtetezi wa masuala ya raia na amani kwenye jamii yake amezungumza na Umoja wa Mataifa na kuelezea jinsi ambavyo anasaidia vijana wengine kukataa mizozo na badala yake wachukue dhima kubwa ya kujenga amani nchini mwao.