Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Wanawake na wasichana nchini Tanzania ambao wako katika tishio la ukatili na ndoa za utotoni sasa wanaweza kupata msaada wanaouhitaji
FAO Tanzania

UNFPA inamuunga mkono Rais wa kwanza mwanamke Tanzania kusongesha usawa wa kijinsia 

 Ndoa za utotoni zimeendelea kuwaathiri wasichana wengi nchini Tanzania katika eneo la Afrika Mashariki, lakini kwa sasa juhudi mbalimbali zinazoungwa mkono na shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu duniani UNFPA zinatoa fursa kwa watoto na wbarubaru kupata msaada unaohitajika ili kuepuka mahusiano wasiyoyataka na yenye athari mbaya katika maisha yao.