COLOMBIA: UN yalaani mauaji ya waandamanaji mjini Cali
Natoa wito wa kukomeshwa kwa aina yeyote ya vurugu, pamoja na uharibifu, na pande zote kuendeleza mazungumzo, na kuhakikisha maisha ya watu na utu unaheshimiwa na watu wote" Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet