Wafanyakazi wa afya ni askari wa mstari wa mbele dhidi ya COVID-19, tuwalinde
Askari wengi wameona vitisho vya vita kwa haraka, na ingawa ilikuwa ya kutisha mara nyingi, walijua ni nani wanapigana naye, na wangeweza kumtambua adui wao.
Andiko la Waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe na Siddharth Chatterjee, Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya.