Fahamu kuhusu Kifua Kikuu au TB, kwa nini wengine huugua mara kwa mara?
Kifua Kikuu au (TB) ni ugonjwa wa kuambukiza ambao huathiri mapafu na kusababishwa na bakteria. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya hewa wakati watu walioambukizwa wanapokohoa, kupiga chafya au kutema mate.