Methali: Mchama ago hanyele, huenda akawia papo
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu hii leo ni Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anachambua methali, Mchama ago Hanyele, huenda akawia papo.