Neno la Wiki: Mchirizi na Mtaro
Katika neno la wiki hii leo tunabisha hodi, Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo anafafanua maana ya maneno MTARO na MCHIRIZI.
Katika neno la wiki hii leo tunabisha hodi, Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo anafafanua maana ya maneno MTARO na MCHIRIZI.
Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Aida Mutenyo kutoka Uganda anachambua majina mbalimbaliya Kuku. Kuna Tembe, Mtetea, Koo, Kiweto na Kipora. Je wafahamu tofauti zake? Ungana na Bi. Mutenyo ambaye ni Mwenyekiti wa Idara za Kiswahili za Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki.
Na sasa ni muda wa kujifunza Kiswahili na leo mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania , BAKITA ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi anafafanua maana ya neno "NASIHA"
Na sasa ni neno la wiki ambapo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anachambua maana ya neno Komangu. Je neno hili lina maana gani, ungana naye kwa undani zaidi.