Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

UN News Kiswahili

Neno la Wiki: Dau, Wadau, Washikadau

Leo katika Neno la Wiki tunabisha hodi Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu,  Bi. Mwanahija Ali Juma, ambaye ni Katibu mtendaji wa baraza hilo anafafanua maneno  “Dau, Wadau na Washikadau" ambayo huleta utata mkubwa katika matumizi yake.

 

Sauti
1'18"
UN News Kiswahili

Neno la Wiki- OPOA

Wiki hii katika Neno la Wiki, mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania , BAKIZA kwa Bi. Mwanahija Ali Juma , Katibu mtendaji wa BAKIZA akichambua maana ya neno  “OPOA”. Anasema kuwa opoa ni lazima kitu kiwe kinatolewa kutoka kwenye maji! Fuatana naye.

Audio Duration
1'5"