Bei ya nafaka iliongezeka Desemba 2020 huku sukari bei ikipungua
Takwimu za bei ya vyakula zilizotolewa hii leo mjini Roma Italia na shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO, zinaonesha bei ya chakula ulimwenguni ilipanda kwa miezi saba mfululizo hadi mwezi Desemba mwaka jana, ikiongozwa na bidhaa za maziwa na mafuta ya mbogamboga. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.