UN na harakati za usimamizi wa matumizi salama ya mtandao
Mivutano inaendelea ndani ya mikutano ya Umoja wa Mataifa ya kuweka miongozo ya usalama na matumizi ya teknolojia lakini hatimaye tutafikia muafaka ili tuwe na usimamizi mzuri wa usalama wa mtandao, amesema Peter Mmbando Mkurugenzi Mtendaji na Muasisi Digital Agenda For Tanzania Initiative.