Jimbo la Wasomali wa Ethiopia lakabiliwa na tatizo la njaa
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imearifu ya kuwa hali katika lile eneo la Ethiopia la Ogaedn ambapo huishi raia wenye asili ya Kisomali, linaitia wasiwasi jamii ya kimataifa kwa sababu ya kutanda kwa tatizo la chakula.