Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano

UN News/George Musubao

MONUSCO tuko bega kwa bega na CENI DRC

Tayari Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo amethibitisha uchaguzi mkuu utafanyika nchini humo mwishoni mwa mwaka huu kama ilivyopangwa. Sasa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO  unaeleza ni hatua gani zimefanyika na zinafanyika ili kuhakikisha uchaguzi huo unakuwa huru,a wahaki na unafanyika kwa amani.

Sauti
4'53"
UN News

Dijitali mkombozi kwa mtoto wa kike

Mkutano wa 67 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani CSW67 umekunja jamvi kwenye makao makuu ya UN jijini New York, Marekani na maudhui yalikuwa uvumbuzi, mabadiliko ya kiteknolojia, na elimu katika zama hizi za kidigitali kwa ajili ya kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake na wasichana wote. Miongoni mwa walioshiriki ni Elionora Emiel Wilfred, mwanafunzi wa kidato cha 4 katika shule ya sekondari ya Mtakatifu Thereza wa Avila mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania. Alizungumza na Selina Jerobon wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa mataifa.

Sauti
5'25"