Marekani yatoa msaada wa taulo za kike kusaidia elimu kwa wasichana Dadaab:UNHCR
Mano Hamdam mwenye umri wa miaka 20 anakumbuka machache sana kuhusu maisha aliyokuwa akiishi huko Kismayo nchini Somalia.
Mano Hamdam mwenye umri wa miaka 20 anakumbuka machache sana kuhusu maisha aliyokuwa akiishi huko Kismayo nchini Somalia.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anaelekea Colombia wiki hii kuadhimisha miaka mitano tangu kutiwa saini kwa mapatano ya amani yaliyomaliza miaka 50 ya mzozo nchini humo, na shughuli zake zitajumuisha kusafiri hadi katika kijiji cha Llano Grande, ambako wakazi wa mji huo. na wapiganaji wa zamani wanafanya kazi pamoja ili kupata maisha bora ya baadaye.
Kwa zaidi ya miaka 70, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) limekuwepo kote nchini Afghanistan hata wakati huu ambapo Taliban imetwaa mamlaka wakati wa majira ya joto.
Ufugaji wa kuhamahama, ni njia ya kitamaduni ya ufugaji, ambayo inawaajiri zaidi ya watu milioni 200 kwenye nchi 100 kwa mujibu wa shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO.
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO linasema biashara ya kimataifa inafanya kuwa vigumu zaidi kwa watu kufahamu ni nani anayezalisha chakula chakula tunachokula na anazalishaia wapi lakini Lebo za biashara zinazoaminika zinaweza kutusaidia kuziba pengo hili.
Wakati kundi la Taliban lilipochukua mamlaka nchini Afghanistan katikati ya mwezi wa Agosti, katika hospitali kuu ya Maidan Shar, jiji lenye wakazi takriban 35,000 katikati mwa nchi hiyo, wafanyakazi wengi walikuwa hawajalipwa mshahara kwa miezi kadhaa.