Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Kuunganishwa tena kwa wapiganaji wa zamani wa FARC katika mashirika ya kiraia kunawezekana katika mji mdogo wa Llano Grande huko Dabeiba, Colombia
UNMVC/Esteban Vanegas

Miaka mitano baada ya makubaliano ya amani, Llano Grande Colombia waunda familia kutoka sehemu tofauti.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anaelekea Colombia wiki hii kuadhimisha miaka mitano tangu kutiwa saini kwa mapatano ya amani yaliyomaliza miaka 50 ya mzozo nchini humo, na shughuli zake zitajumuisha kusafiri hadi katika kijiji cha Llano Grande, ambako wakazi wa mji huo. na wapiganaji wa zamani wanafanya kazi pamoja ili kupata maisha bora ya baadaye.