Urejeshaji wa miamba ya matumbawe nchini Colombia waanza kuzaa matunda
Shughuli za utalii, uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi zimechochea kuleta wasiwasi kwa wananchi wa kisiwa cha San Andres nchini Colombia kutokana na matumbawe waliyokuwa wanategemea kuvutia watalii kuanza kuharibika na samaki wa asili kuanza kupotea ambao ni chanzo cha mapato cha wanajamii.