Jifunze Kiswahili: Pata uchambuzi wa neno “PAMBAJIO”
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA anafafanua maana ya neno “PAMBAJIO”.
Audio Credit
Onni Sigalla
Sauti
1'6"