Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utangazaji wa sasa una walakini japo redio bado ni muhimu - Rose Haji

Utangazaji wa sasa una walakini japo redio bado ni muhimu - Rose Haji

Pakua

Ikiwa wiki hii ulimwengu umeadhimisha Siku ya redio Duniani, Mwanahabari gwiji wa siku nyingi nchini Tanzania Rose Haji anakubaliana na mtazamo wa Umoja wa Mataifa kuwa redio bado ni chombo muhimu sana katika mawasiliano ya ulimwengu lakini anaona kwamba kwa upande wa taaluma ya utangazaji wa redio kuna tatizo.

Audio Credit
Evarist Mapesa/Rose Haji
Audio Duration
3'15"
Photo Credit
UN News