Siku ya ulemavu duniani: Kauli kutoka kwa mchezesha muziki mwenye ulemavu wa kutoona
Pakua
Siku ya watu wenye ulemavu duniani iliadhimishwa jana desemba 3 ikiwa na maudhui Ushirikiano katika hatua ya kuokoa na kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu, (SDGs) kwa pamoja na watu wenye ulemavu, na leo inakupeleka nchini Kenya kummulika mchezeshaji muziki au DJ mwenye ulemavu wa kutoona John Ndichu al maarufu, DJ NdichiKings. Pamela Awuori wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza naye akiwa eneo la Ruiru, Kaunti ya Kiambu.
Audio Credit
Assumpta Massoi/Pamela Awuori
Audio Duration
3'14"