Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mcheza kwao hutuzwa, Kalah Jeremiah

Mcheza kwao hutuzwa, Kalah Jeremiah

Pakua

Shirika la idadi ya watu, UNFPA limewatunukia watu ambao wanapigania usawa wa kijinsi katika jamii nchini Tanzania ambapo msanii wa Hip Hop Kalah Jeremiah amekuwa miongoni mwa watu 16 waliopata tuzo hiyo. Ahimidiwe Olotu wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam amezungumza na msanii huyo. 

 

Audio Credit
Kalah Jeremiah
Audio Duration
3'10"
Photo Credit
Warren Bright/UNFPA Tanzania