Neno la Wiki-
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo
"ukienda kwa mwenye chongo nawe fumba lako jicho"
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo
"ukienda kwa mwenye chongo nawe fumba lako jicho"
Na sasa ni neno la wiki ambapo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anachambua maana ya maneno Chaudele na Chudele
Mtaalam wetu wa kiswahili juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana ya maneno “BOMBA NA MFEREJI”
Kwa mujibu wa Mwanahija, maneno haya hayana utofauti lakini mazingia waliopo watu ndio aynaleta utaofauri wa matumizi.
Na sasa ni neno la wiki ambapo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anachambua maana ya neno Mkulivu. Mkulivu ni mtu je ni wa aina gani? Je ni mtu mwenye mdomo? mdomo wa aina gani? Fuatana naye.
Katika Neno la Wiki hii leo tunachambua methali isemayo, "uji wa moto haupozwi kwa ncha ya ulimi." Mchambuzi wetu ni Ken Walibora, mwanariwaya na na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA. Fuatana naye mlumbi huyu wa lugha ya Kiswahili.