Sikiliza jinsi raia wa Kenya alivyonasuliwa kwenye zahma ya usafirishaji haramu
Na sasa ni wasaa wa mada yetu kwa kina ambayo leo inaangazia usafirishaji haramu wa binadamu na changamoto zake. Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na madawa na uhalifu UNODC inasema hili ni tatizo mtambuka linaloikumba dunia nzima na linalohitaji jududi za pamoja za kimataifa kupambana nalo.