Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

© UNHCR/Pauline Omagwa

Mradi wa sola kambini Kalobeyei, Kenya wawezesha wakimbizi na wenyeji kujikwamua kiuchumi

Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, Filippo Grandi ambaye amezuru Kenya ameshuhudia ni kwa kiasi gani miradi inayoIenga wakimbizi na wenyeji inasaidia sio tu kuinua vipato vya pande zote bali pia kujenga utangamano, maelewano na amani kwenye makazi ya wakim

Sauti
3'49"
UN Kenya/Newton Kanhema

UN yapongeza Kenya kwa kutumia sheria ya kimataifa kushtaki watuhumiwa wa uhalifu baada ya uchaguzi mkuu 2017

Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Volker Türk ameipongeza serikali ya Kenya kwa kile alichoeleza ni hatua muhimu ya kuelekea uwajibikaji kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Kenya, kufuatia uamuzi wake wa wa kutumia Sheria ya Uhalifu wa Kimataifa 

Sauti
1'59"

27 OKTOBA 2022

Hii leo jaridani ni Mada kwa Kina na tunakuunganisha moja kwa moja na mwenzetu Flora Nducha aliyeko Kigali nchini Rwanda akimulika harakati za shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO, za kuhakikisha taifa hilo la Afrika Mashariki linatekeleza kwa ufanisi lengo namba 3 la malengo ya m

Sauti
11'30"