Bila usimamizi, Akili Mnemba itachochea mmomonyoko wa maadili
Mbobezi wa masuala ya elimu kutoka Malaysia Profesa Dkt. Selvaraj Oyyan amesema iwapo kasi ya sasa ya matumizi ya Akili Mnemba au AI haitapatiwa usimamizi wa kutosha, basi siku zijazo kati ya miaka 10 au 15 dunia itakuwa na watu wenye fikra na mtazamo mmoja kwani mashine zitakuwa zinafanya kila kitu.