Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Meja Rhandika. Yeye ni Kiongozi la kikosi cha wanawake ndani ya INDIBAT-1.
MONUSCO

Uwepo wa wanawake kwenye INDIBAT-1 nchini DRC kwaleta matumaini kwa wanawake

Mwezi huu wa Oktoba ikiwa ni miaka 23 tangu kupitishwa kwa azimio namba 1325 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu wanawake katika harakati za amani na usalama ninakupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia jinsi ujumuishaji wa wanawake walinda amani kwenye kikosi cha India kinachohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo (MONUSCO) kumeleta matumaini kwa wanawake.