Tume ya UN yasikitishwa na vitendo vya kikatili vya Urusi nchini Ukraine
Tume ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imeripoti leo kwa Baraza la Haki za Kibinadamu kwamba kuna ushahidi kuwa wanajeshi wa Urusi wanaendelea kufanya uhalifu wa kivita nchini Ukraine.