Waasi wa CODECO waua raia Ituri, Bintou kuhusu Baraza
Mashambulizi yanayofanywa na waasi wa kundi la CODECO jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC yameendelea ambapo katika tukio la hivi karibuni waasi hao walishambulia eneo la Djugu jimboni humo na kuua raia 17.