Marynsia Mangu: Kijana aliyedhamiria kujenga utamaduni wa watoto kusoma vitabu
Lengo namba nne la Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa linazungumzia Elimu na linataka jamii kuhakikisha kuna elimu bora, jumishi na inayolingana na kukuza fursa za kujifunza maishani kwa wote.