Ufadhili wahitajika haraka kukidhi mhitaji ya kibinadamu Burkina Faso: Griffiths
Mkuu wa masuala ya kibinadamu na mratibu wa misaada ya dharura wa Umoja wa Mataifa Martin Griffiths amehitimisha ziara fupi nchini Burkina Faso na kusema alichokishuhudia ni madhila kwa mamilioni ya watu ambao wanahitaji msaada wa dhariura kikidhi mahitaji ya msingi.