Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Kijiji kilichoathirika ma mafuriko huko Matiari, katika mkoa wa Sindh wa Pakistani.
© UNICEF/Asad Zaidi

Mashirika ya UN yanasaidia mamilioni ya walioathirika na Mafuriko Pakistan

Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanafanya kila juhudi kuhakikisha yanasaidia zaidi ya watu milioni 33 walioathirika na mafuriko nchini Pakistan baada ya mvua za monsoon kunyeesha kwa kiwango kikubwa sana na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 1200 na kuharibu kabisa miundo mbinu mingine. Leah Mushi anatujuza nini mashirika ya UN yanafanya. 

Sauti
3'54"