Guterres azindua ajenda ya hatua kukabili ukimbizi wa ndani
Dunia yetu inakabiliwa na janga la ukmbizi wa ndani! Ndivyo alivyoanza ujumbe wake Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ujumbe ambao ametoa leo kwa njia ya video kuzindua ajenda yake ya hatua dhidi ya ukimbizi wa ndani.