Katibu Mkuu wa UN na UNICEF walaani shambulio la risasi katika shule Marekani
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza kushitushwa na kuhuzunishwa sana na mauaji ya kutisha ya risasi katika shule ya msingi mjini Uvalda, Texas, Marekani.