Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet
UN Photo/Antoine Tardy

Bachelet apazia sauti kinachoendelea Burkina Faso

Sinfofahamu ya uongozi huko Burkina Faso ikiwa imeingia siku ya tatu, Kamishna Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet naye ametoa wito kwa jeshi nchini humo limuachie huru mara moja Rais Roch Marc Christian Kaboré na maafisa wengine wa ngazi ya juu ambao wamekuwa wanashikiliwa.