Majaribio ya nyuklia yameathiri binadamu na mazingira:Guterres
Majaribio ya nyuklia yamesababisha mateso makubwa na athari kwa binadamu na uharibifu wa mazingira.
Majaribio ya nyuklia yamesababisha mateso makubwa na athari kwa binadamu na uharibifu wa mazingira.
Wakati wa moja ya safari za mara kwa mara za Naomi Otua kumtembelea mjukuu wake James katika mji wa Assin Fosu kati kati mwa Ghana, aligundua kuwa kulikuwa na tatizo kubwa sana.
Ofisi ya Kamisnina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imesema shambulio la kigaidi lililofanywa na kundi la ISIL-Khorasan kwenye uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanistan jana ni ililikuwa hatua na uamuazi mbaya wa kundi hilo, nani bayana lilikuwa limepangwa kuua na kulemaza watu wengi iwezekanavyo wakiwemo raia, watoto, wanawake, kina baba, kina mama, pamoja na Taliban na vikosi vya kigeni vinavyolinda uwanja wa ndege.
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea leo karibu na uwanja wa ndege wa Kabul nchini Afghanistan.
Serikali wanachama wa shirika la afya la Umoja wa Mataifa (WHO) kanda ya Afrika zimeahidi kumaliza aina zote zilizobaki za polio na kutoa kadi za alama ili kufuatilia maendeleo kuelekea kutokomeza kabisa virusi bvya ugonjwa huo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya kiuchumi na kijamii inayoendelea kuzorota kwa haraka nchini Lebanon.
Programu ya kimataifa ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kwa ushirikiano na serikali ya Italia ya kuwasaidia wakimbizi kupata elimu ya juu nchini Italia imekuwa ni ngazi ya kufikia matarajio ya mkimbizi Saber ambaye kwa miaka 19 alikuwa akiishi kwenye kambi ya wakimbizi nchini Ethiopia.
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP nchini Afghanistan linatarajia kuishiwa akiba ya chakula mapema mwezi Oktoba mwaka huu na limeomba msaada wa fedha ili liweze kusaidia mamilioni ya watu kupata mlo.
Walinda amani wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS wanaendelea na doria ya barabarani kutoka Tambura hadi Ezo katika Jimbo la Equatoria Magharibi nchini Sudan Kusini kutathmini hali ya usalama na kibinadamu kufuatia kuzuka kwa mzozo mkali unaoendelea katika eneo hilo.