Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mtoto akitembea katika kambi ya muda ya Kabul baada ya familia yake kuyakimbia makazi yao kutokana na mzozo nchini Afghanistan
© UNICEF Afghanistan

Shambulio la kigaidi Kabul ni msumari wa moto juu ya kidonda kwa Waafghanistan:UN

Ofisi ya Kamisnina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imesema shambulio la kigaidi lililofanywa na kundi la ISIL-Khorasan kwenye uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanistan jana ni ililikuwa hatua na uamuazi mbaya wa kundi hilo, nani bayana lilikuwa limepangwa kuua na kulemaza watu wengi iwezekanavyo wakiwemo raia, watoto, wanawake, kina baba, kina mama, pamoja na Taliban na vikosi vya kigeni vinavyolinda uwanja wa ndege.