Mradi wa Mfereji wa Maji waboresha maisha ya wakazi wa Kabul, Afghanistan
Benki ya Dunia kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo ya Afghanistan imefanya mradi wa uboreshaji wa mfereji uliokuwa unategemewa na zaidi ya kaya 170 ambazo zilikuwa hazipati maji ya kutosha kwa ajili ya kilimo na hivyo kuvuna mazao hafifu, na sasa wananchi wa kijiji cha Pazhak wanafurahia matunda ya mradi huo na maisha yameboreka zaidi