Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Picha ya makataba ikiwaonesha wanahabari wakipiga picha za video katika Makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani.
UN Photo/Ariana Lindquist

Wanahabari wanapolengwa, jamii kwa ujumla ndiyo inalipia gharama-Guterres

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia Ujumbe wake alioutoa hii leo mjini New York Marekani kuhusu siku  ya leo ya kimataifa ya kutokomeza ukwepaji wa sheria ya uhalifu dhidi ya wanahabari, amesema katika siku ya mwaka huu, dunia vikiwemo vyombo vya habari, juu ya changamoto nyingine, vimekabiliwa na changamoto mpya kabisa ambayo ni COVID-19. 

Sauti
2'50"