COVID-19 imevuruga harakati za kukabiliana na ugaidi- Guterres
Leo ni siku ya kimataifa ya kukumbuka waathiriwa na manusura wa vitendo vya kigaidi ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres katika ujumbe wake amesema janga la COVID-19 linakwamisha harakati za kusaidia manusura wa ugaidi.