COVID-19 yaongeza machungu sekta ya utalii Kenya
Janga la ugonjwa wa virusi vya Corona, COVID-19 nchini Kenya limekuwa na athari kwa sekta ya uhifadhi wa wanyamapori na hivyo kuweka hatarini mustakabali wa wanyamapori kwenye hifadhi.
Janga la ugonjwa wa virusi vya Corona, COVID-19 nchini Kenya limekuwa na athari kwa sekta ya uhifadhi wa wanyamapori na hivyo kuweka hatarini mustakabali wa wanyamapori kwenye hifadhi.
Wiki ya unyonyeshaji duniani ikiendelea shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema sikua 1,000 za mwanzo za maisha ya mtoto tangu akiwa tumboni mwa mama yake ni muhimu sana katika ukuaji wa ubongo hali ambayo itaamua mustakabali wa mtoto, jinsi gani anafikiri, kujifunza na tabia yake na lishe muafaka ikiwemo maziwa ya mama ni ufunguo wa kila kitu.
Wiki ya unyonyeshaji duniani imeanza Agosti Mosi huku Umoja wa Mataifa ukizitaka jamii zote kila mahali “kuunga mkono unyonyeshaji kwa ajili ya kuwa na dunia yenye afya.”
Kamati ya dharura ya shirika la afya duniani WHO ya kupambana na janga la corona au COVID-19 imekutana mjini Geneva Uswis katika kikao maalum kilichoitishwa na mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus.