Mradi wa kukuza lishe (SUN), wawanufaisha wanawake na watoto Malawi
Mradi wa ushirikiano kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na Seriali ya Malawi kuboresha hali ya lishe ya wanawake wajawazito, akina mama na watoto wenye umri chini ya miaka mitano umekuwa na manufaa makubwa kwa wananchi nchini Malawi.