Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Sajini Tekla Kibiriti wa kikundi cha 7 cha kikosi cha TANZBATT 7 kilichoko kikosi cha kujibu mashambulizi cha MONUSCO, FIB, akitoa huduma ya afya kwa wanawake wakazi wa kata ya Matembo iliyoko Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemorkasia ya
TANZBATT 7/Ibrahim Mayambua

Walinda amani wanawake kutoka Tanzania wasema, "wanawake DRC wanafunguka zaidi kwetu kuelezea masahibu yao."

Kuelekea siku ya walinda amani duniani kesho Mei 29, siku ambayo mwaka huu inamulika wanawake walinda amani wa Umoja wa Mataifa na mchango wao katika ujenzi wa amani ya kudumu, tunamulika askari wanawake wa Tanzania wanaohudumu katika kikosi cha saba cha kikosi cha kujibu mashambulizi, FIB cha ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.

Sauti
2'13"