Ethiopia yavunja rekodi ya India, yapanda miti milioni 350 ndani ya saa 12
Ethiopia imevunja rekodi ya upandaji miti kwa siku moja ambapo katika uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti, imepanda zaidi ya miti milioni 350 kwenye bustai ya Gulele katika mji mkuu Addis Ababa.