Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Dkt Juma Magogo Mzimbiri, mtaalamu bingwa wa upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo nchini Tanzania akihojiwa na UN News Kiswahili mjini New York Marekani  (June 2019)
UN News Video Screen Capture

Madawa ya kulevya ni hatari kubwa kwa afya ya ubongo- Daktari Juma Magogo Mzimbiri

Leo ni siku ya kimataifa ya mapambano dhidi ya matumizi na usafirishaji haramu wa mihadarati. Kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni haki kwa ajili ya afya na afya kwa ajili ya haki. Katika mahojiano yangu ya awali kwenye studio zetu za hapa mjini New York, na daktari bingwa wa upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo, Dokta Juma Magogo Mzimbiri aliyeko masomoni hapa Marekani amenieleza mihadarati inafanya nini ikiingia katika ubongo wa binadamu.

Sauti
2'14"