Watu 700 ikiwemo watoto wamezuiliwa kufuatia maandamano Venezuela
Takriban watu 850 wamezuiliwa nchini Venezuela wakati huu kunaposhuhudiwa maandamano dhidi ya serikail ambapo makabiliano na vikosi vya usalama yamesababisha vifo kwa watu 40 kwa mujibu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu, OHCHR.