Rais wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa Bi María Fernanda Espinosa amtembelea Papa Francis.
Rais wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa Bi María Fernanda Espinosa, asubuhi hii amekutana na kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis mjini Vatican, nchini Italia , kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.