Kwa ujumla usalama umerejea Burundi na wakimbizi wanarudi: Nibigira
Waziri wa mambo ya nje wa Burundi amesema kwa ujumla hali ya usalama na utulivu imerejea Burundi na kilichosalia ni matukio madogomadogo ya utovu wa nidhamu.
Waziri wa mambo ya nje wa Burundi amesema kwa ujumla hali ya usalama na utulivu imerejea Burundi na kilichosalia ni matukio madogomadogo ya utovu wa nidhamu.
Naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje wa Syria Walid al-Muallem amesema vita vya nchi yake dhidi ya ugaidi vinaelekea ukingoni akishukuru ujasiri, dhamira, umoja wa watu wa Syria, jeshi la nchi hiyo, msaada wa marafiki na washirika wao.
Suala la uhamiaji likiendelea kuibua vuta nikuvute, Msumbiji imesema kuwa la msingi ni watu kufuata sheria kwani uhamiaji umekuwepo na utaendelea kuwepo.
Tanzania imetaka hatua za dhati zichukuliwe ili kuokoa hoja ya ushirikiano wa kimataifa ambao hivi sasa uko mashakani.
Wapalestina pamoja na eneo lao hivi sasa wanahitaji zaidi ulinzi wa haraka kutoka kwa jamii ya kimataifa kuliko wakati wowote ule.
Umoja wa Mataifa na Muungano wa Ulaya EU leo wamezindua mkakati wa kukomesha mauaji dhidi ya wanawake na wasicha katika nchi tano za Amerika ya Kuisni kwa sababu tu ya jinsia yao, mkakati ujulikanao kama Spotlight.
Simanzi ilionekana leo kwenye nyuso za washirki wa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza baada ya Mkurugenzi Mkuu wa shirika la afya duniani, WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus kuomba washiriki wasimame pindi tu wanaposikia ametaja ugonjwa ambao umekuwa chanzo cha kifo cha iwe ndugu, jamaa, jirani au rafiki.
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wametaka mshikamano na hatua kali kutoka kwa baraza hilo dhidi ya silaha za maangamizi zikiwemo za nyuklia, kibaolojia na za kemikali.
Marekani inaendeshwa na Wamarekani na ukiheshimu uhuru wetu hatutokuingilia wala kukwambia la kufanya. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa Marekani Donald Trump alipouhutibia mjadala wa wazi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
Misingi mikuu mitatu ambayo ni uongozi bora, kushirikiana majukumu na kuchukua hatua za pamoja ni muhimu kwa mustakhbali wa dunia amesema Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Maria Espinosa.