Mashambulizi dhidi ya watoto mwaka 2017 yamekithiri- UNICEF
Kiwango cha mashambulizi dhidi ya watoto kote ulimwenguni ni cha kutisha wakati huu ambapo mwaka 2017 unafikia ukingoni, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF katika taarifa yake iliyotolewa leo.
John Kibego na ripoti kamili.
(Taarifa ya John Kibego)