Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

UNHCR na IMO yatoa mwito kupunguza vifo baharini

Shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR na shirika la kimataifa la safari za baharini IMO, yameungana kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua zaidi kuzuia vifo vinavyo tokea miongoni mwa watu wanaosafiri kwa maboti katika safari za hatari kabisa kuvuka bahari ya Mediterranean, Ghuba ya aden na kwengineko kujaribu kutafuta maisha bora.

Hapa na pale

Afisi ya kulinda amani ya UM huko Ivory Coast imetangaza kwamba itashirikiana na uchunguzi wa kimataifa kutokan na shambulio la roketi wiki iliyopita dhidi ya ndege iliyokua ina msafirisha waziri mkuu Guillaume Soro.