Viongozi wa biashara duniani wa ahidi kubadili uwonevu katika biashara
Katibu mkuu wa UM Ban Ki-moon alitoa mwito wa kuchukuliwa hatua za kukabiliana na kubadilika kwa hali ya hewa na masuala mengine yanayo ya shughulisha jumwia ya kimataifa.
Katibu mkuu wa UM Ban Ki-moon alitoa mwito wa kuchukuliwa hatua za kukabiliana na kubadilika kwa hali ya hewa na masuala mengine yanayo ya shughulisha jumwia ya kimataifa.
Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa bi Asha-Rose Migiro, amesifu mafanikio katika ushirikiano mzuri kati ya Jumuia ya Afrika AU na UM katika kupatikana usalama na amani na kuendeleza maendeleo.
Mjumbe maalum wa UM aliyepewa jukumu la kufufua utaratibu wa amani katika jimbo lenye ghasia la Darfur huko Sudan amewasili Sudan wiki hii kuanza mazungumzo mepya .
Shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR na shirika la kimataifa la safari za baharini IMO, yameungana kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua zaidi kuzuia vifo vinavyo tokea miongoni mwa watu wanaosafiri kwa maboti katika safari za hatari kabisa kuvuka bahari ya Mediterranean, Ghuba ya aden na kwengineko kujaribu kutafuta maisha bora.
Shirika la watoto la umoja wa mataifa UNICEF limepongeza hatua kadhaa zilizochukuliwa na Misri wiki iliyopita kuondowa mila ya kukeketwa wasichana, baada ya kufariki kwa msichana mwenye umri wa miaka 12 kutokana na kukeketwa.
Afisi ya kulinda amani ya UM huko Ivory Coast imetangaza kwamba itashirikiana na uchunguzi wa kimataifa kutokan na shambulio la roketi wiki iliyopita dhidi ya ndege iliyokua ina msafirisha waziri mkuu Guillaume Soro.