Ripoti ya UNDP ya Maendeleo ya Binadamu kwa 2006 yawakilishwa Afrika Kusini
Shirika la UM juu ya Miradi ya Maendeleo (UNDP) limewasilisha rasmi Alkhamisi mjini Cape Town, Afrika Kusini Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu kwa 2006 iliyopewa muktadha usemao “Upungufu wa mahitaji uliovuka mipaka: mzozo wa maji ulimwenguni, ufukara na nguvu za mamlaka.”