Guterres alaani mashambilizi ya kigaidi Moghadishu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia msemaji wake amelaani mashambilizi ya kigaidi mjini Moghadishu yaliyotokea jana tarehe 23 na kukatili maisha raia wasio na hatia na kujeruhi wengine wengi