Mkataba wa kimataifa kuhusu wakimbizi waleta mabadiliko chanya-UNHCR
Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR inaonesha kuwa jamii ya kimataifa imeitikia vema wito wa kuwajibika pamoja katika kusaidia wakimbizi kupitia mkataba wa kimataifa wa wakimbizi, GCR.