Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanahabari waweka maisha yao rehani kuripoti masuala ya mazingira

Wanahabari waweka maisha yao rehani kuripoti masuala ya mazingira

Pakua

Leo ikiwa ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maudhui yakiwa ni Uandishi wa Habari wakati huu wa janga la mazingira, Anold Kayanda wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa akimulika sakata la vifo vya waandishi wa habari wanaoweka maisha yao rehani kuripoti masuala ya mazingira. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/Anold Kayanda
Sauti
3'13"
Photo Credit
UN Photo/JC McIlwaine