Jifunze Kiswahili: Totauti ya matumizi ya maneno "ELEKEZA NA ELEZA"
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua totauti ya matumizi ya maneno "ELEKEZA NA ELEZA."
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
53"